Fashion

Tuesday 5 April 2016

CONTE KUPITA NJIA MOJA NA MAKOCHA WENZAKE WA ITALY KATIKA KLABU YA CHELSEA?

Na steve sameo
Mambo yameiva kwa klabu ya Chelsea nchini England imeshapata saini ya kocha mpya Antonio Conte tayari ameshamwaga wino wa miaka mitatu katika klabu hiyo ya london.


Ikumbukwe kuwa chelsea imeshanolewa na makocha wa italy ,Ranier,Carlo Ancelott,Dimateo na sasa ni dhamu ya Antonio Conte kupita kwenye kiti hicho katika klabu ya chelsea maarufu kama the blues

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :