Fashion

Monday 30 January 2017

KAGERA SUGAR IMEMPOTEZA GOLIKIPA DAVID BURUHANI LEO ASUBUHI


Golikipa wa zamani wa klabu ya Mbeya city na Kagera sugar kwa sasa David buruhani ameaga dunia katika hospitali ya bugando alikokuwa akipatiwa matibabu .


Buruhani alilazwa baada ya kutoka kwenye mchezo dhidi ya singida kwenye mchezo wa FA


taarifa zaidi tutaendelea kuwataarifu pamoja na mchezo wao kagera sugar zidi ya mtibwa leo pumzika kwa amani

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :