Fashion

Monday 30 January 2017

FAMILIA YA MKONGWE PELE WA GHANA YAONGOZA MAANGAMIZI GABON ,GHANA 2-1 DRC CONGO


.
Familia ya mkongwe Abeid Pele Andre Ayew na mdogo wake, Jordan Ayew wapeleka furaha kubwa kwa timu ya taifa ya Ghana kwa  kila mmoja kufunga bao moja na kuisaidia Ghana kuifunga DR Congo kwa mabao 2-1 katika mechi ya robo fainali ya michuano ya Afcon nchini Gabon.
Jordan ndiye alianza kufunga dakika ya 63 na kaka yake akamalizia kazi katika dakika ya 78 jwa penalti.
Wote wawili ni watoto wa gwiji la soka nchini Ghana Abeid Ayew maarufu kama Abeid Pele.


DR Congo (4-3-3): Matampi, Mpeko, Tisserand, Bokadi, Lomalisa; Mbemba, M'poku (Bakambu 83), Mulumba (Bolingi 85); Mubele (Bokila 83), Mbokani, Kabananga
Booked: Mulumba, Lomalisa
Goals: J Ayew 63, A Ayew 78 pen 

Ghana (4-2-3-1): Razak; Afful, Boye, Amartey, Acheampong; Acquah, Wakaso; Atsu, Partey, A. Ayew; J. Ayew
Booked; Wakaso, Amartey
Goals: M'Poku 68

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :