Fashion

Monday 18 April 2016

MESSI AFIKISHA GOLI 500 KATIKA KARIA YAKE YA SOKA

Mafahari watatu wa Barcelona, Luis Suarez, Neymar Junior na Lionel Messi wakijishangaa baada ya kufungwa 2-1 na Valencia usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa La Liga Uwanja Camp Nou, huo ukiwa mchezo wa tatu mfululizo .


Wanafungwa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 13. Mabao ya Valencia yalifungwa na Ivan Rakitic aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa krosi ya Guilherme Siquiera dakika ya 26 na Santi Mina dakika ya 45, wakati la Bara lilifungwa na Messi dakika ya 63.

Huku messi akiwa  amefikisha goli mia tano katika kalia yake ya mpira huku akiwa ameifungia Barcerona goli 450 huku timu yake ya taifa akiw ameifungia goli 50 toka aanze kuichezea

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :