Fashion

Saturday 28 May 2016

MOURINHO WINO TAYARI MANCHESTER UNITED

Na steve sameo

Kocha Jose Mourinho sasa rasmi ni kocha wa Manchester United baada ya uongozi wa klabu hiyo, kumtangaza.

Makamu Mwenyekiti wa Manchester United, Ed Woodward  ametangaza wao kuingia mkataba wa miaka minne na kocha huyo raia wa Ureno.

Mkataba huo utakuwa na gharama ya pauni milioni 45 katika kipindi cha miaka mitatu na tayari inaelezwa ametengewa kitita cha pauni milioni 200 kwa ajili ya usajili na masharti ni kubeba ubingwa wa England.


Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :