Fashion

Monday 30 January 2017

BAJAJI MJI MDOGO MBALIZI WASHINDWA KUFANYA KAZI KWA SIKU MBILI



Mbeya:


Zaidi ya madereva 100 wanaofanya shughuli zao mji mdogo wa mbalizi wilaya ya mbeya vijijini mkoani mbeya wameshindwa kusafirisha abaria kwa siku mbili sasa kutokana na kukosa kwa kupitia katazo la bajaji kutopita barabara kuu.


Ikiwa imepita mwezi mmoja na siku kadhaa tangu mkuu wa mkoa wa mbaya amosi makkalla  kutoa agizo la bajaji kutopita barabara kuu hali si shwali katika mji mdogo wa mbalizi.

Ni siku ya pili kwa vijana 144 wanaojishughulisha na kusafirisha abiria katika mji mdogo wa kiabisahara mbalizi kushindwa kufanya klazi kutokana na kukukosa barabara kwani hakuna kupita katika barabara  kuu na hakuna njia mbadala ya kutmia.

Bahati Simbaya niu mwenyekiti wa bajaji mbalizi anasesma hawaruhusiwi kupita barabara kuu na wanakotakiwa kupita barabara ipo kwenye matengenezo.

Wajasiriamali hao madereva wa bajaji wanaomba serikali yao tukufu yenye kuwasikiliza watu ni kuwatengenezea njia mbadala na kuwaruhusu kupita barabara kuu kwa kipande kidogo cha kutoka zzk hadi hospitali teule ya ifisi kwani wanachofanya ni kuwasaidia wagonjwa.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :