Fashion

Monday 30 January 2017

PAYET KAAMUA KURUDI MARSEILLE

.

Klabu ya Westham imesema kuwa aliyekuwa kiungo wake Dimitri Payet amekosa nidhamu na upendo kwa timu hiyo baada ya kujiunga na klabu ya Marseille ya Ufaransa kwa Euro milioni 25.


Wagonga nyundo hao wa London wamesema kuwa hawakutaka kumuuza Payet huku mwenyekiti wa klabu hiyo David Sullivan akiongeza kuwa walitamani kuendelea kubaki nae. 

Sullivan amesema kuwa sababu ya kumuuza ni ili kutokuondoa umoja wa wachezaji jambo ambalo ni muhimu zaidi.
Payet amejiunga na Marseille kwa mkataba wa miaka minne na nusu.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :