Fashion

Tuesday 2 January 2018

BEKI GHALI DUNIANI AMEANZA MAZOEZI NA TIMU YAKE MPYA

 
  Beki Virgil van Dijk rasmi ameanza mazoezi Liverpool akiwa amevaa kwa mara ya kwanza jezi ya klabu hiyo mazoezini.
 

Van Dijk amesajiliwa kutoka Southampton kwa kitika kikubwa cha pauni milioni 75 na kusababisha gumzo kubwa.
 


Beki huyo mwenye umri wa miaka 26, ameanza mazoezi ya fitnesi akiwa na kitengo cha fitnesi cha benchi la Liverpool ambacho lazima kijiridhishe kabla ya kumkabidhi kwa Kocha Jurgen Klopp ili amtumie.
 

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :