Fashion

Friday 29 December 2017

GEORGE WEAH TOKA BALLON D'OR MPAKA RAISI WA LIBERIA

 Mshindi pekee wa tuzo ya Ballon D’Or kutoka katika bara la Afrika George Weah ameshinda kiti cha uraisi nchini Liberia katika kura zilizohesabiwa.


George Weah nyota wa zamani wa Ac Millan ameshinda katika majimbo 12 kati ya majimbo 15 nchini humo akimshinda mpinzani wake wa karibu sana Joseph Boakai.

Joseph Boakai mwenye umri wa miaka 73 amekuwa makamu wa raisi nchini Liberia kwa muda wa miaka 12 sasa lakini hiyo haikutosha kumpa ushindi kwani aliambulia ushindi majimbo mawili tu.

Weah amewahi kushinda tuzo ya mchezaji bora Africa mara 3, kombe la Serie A mara 2, Ligue 1 mara 1, FA Cup mara 1 na Ballon D’Or 1 tuzo ambayo hadi sasa hakuna Muafrika mwingine ambaye kaichukua

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :