Fashion

Friday 19 May 2017

KANE AWASHA MOTO MBIO ZA UFUNGAJI BORA EPL


Baada ya kufunga mabao manne wakati Tottenham ikiitwanga Leicester kwa mabao 6-1, sasa vita mpya ya wafungaji bora katika Ligi Kuu England.
 

Kane sasa amefikisha mabao 26 akiwavuka Romelu Lukaku wa Everton ambaye alikuwa akiongoza akiwa na mabao 24, sasa yuko nafasi ya pili na nafasi ya tatu ni Alexis Sanchez wa Arsenal mwenye mabao 23.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :