Fashion

Thursday 26 May 2016

FA TANZANIA JUMA ABDUL MCHEZAJI BORA

Na steve sameo
Beki wa Yanga, Juma Abdul amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Shirikisho.

Yanga ndiyo mabingwa wa Kombe la Shirikisho baada ya kuitwanga Azam FC kwa mabao 3-1 katika mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.


Wakati Juma anakuwa mchezaji bora, Kipa wa Azam FC, Aishi Manula ametangwa kuwa kipa bora na mshambuliaji wa Ndanda FC, Atupele Green ndiye mpachikaji mabao bora.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :