Fashion

Wednesday 18 May 2016

JOHN TERRY KUSALIA CHELSEA KWA MWAKA MMOJA



 
Na steve sameo
John Terry kwa mkono wake aongeza  mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Chelsea.

Mapenzi ya dhati kati ya pande hizo mvili yataendelea zadi baada ya Terry kukubali kusaini mwaka mmoja zaidi.

Awali ilionekana kama angeondoka baada ya kuwa ameishacheza mechi 703 na kuchukua makombe lukuki.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :