Fashion

Wednesday 25 May 2016

MOURINHO MUDA WOWOTE NDANI YA MANCHESTER UNITED

 
.Na steve sameo
Ndani ya saa 48 zijazo, klabu ya Manchester United itamtangaza Kocha Jose Mourinho kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo.

Wakati Mourinho anatarajiwa kutangazwa, yeye anataka usajili wake wa kwanza uwe mshambuliaji mkongwe wa Sweden, Zlatan Ibrahimovich ambaye amemaliza mkataba wake na PSG ya Ufaransa.


Tayari kuna taarifa zinasema Ibrahimovic yuko tayari kujiunga na Man United lakini anataka kitita cha pauni million 8 na mshahara wa pauni 200,000 kwa wiki.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :