Fashion

Monday 29 August 2016

DIDA KIPA WA YANGA AMPOTEZA BABA


Kipa wa Yanga, Deogratius Munish ‘Dida’ ameisaidia timu yake kuanza vizuri Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya African Lyon.

Lakini wakati akiwa uwanjani, kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, baba yake mzazi aliyekuwa amelazwa amepoteza maisha.

Imeelezwa, kwamba pamoja na Yanga kupata taarifa hizo za msiba, waliona haikuwa sawa kumueleza wakati wa mapumziko, hadi baada ya mechi, alielezwa jambo hilo.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :