Fashion

Sunday 9 October 2016

SONG HALI YAKE YAIMALIKA KIASI


Rigobert Song anaendelea vizuri baada ya kuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) baada ya kuanguka akiwa nyumbani kwake Younde nchini Cameroon.

Song ambaye ni beki wa zamani wa Liverpool na Cameroon alisafirishwa Ufaransa kwa ajili ya matibabu.


Beki huyo ameelezwa kwamba sasa angalau ameweza kupumua na hali ambayo inaonyesha nafuu kubwa

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :