Fashion

Monday 5 December 2016

AGUERO NJEE MENCHI NNE MAMBO YA FA


Mshambuliaji wa Man City, Kun Aguero atakosa mechi nne za Ligi Kuu England baada ya kufanya rafu ya kijinga dhidi ya beki David Luiz wa Chelsea.

Chelsea iliitwanga Man City kwa mabao 3-1 na Aguero akamrukia Luiz katika dakika ya 90. Pamoja na kadi nyekundu, FA imeamua akose mechi hizo nne.


Wakati Aguero anakosa mechi nne, kiungo Fernandinho naye atakosa mechi tatu akitumikia adhabu ya kumkaba kooni na kumsukuma hadi chini kiungo Cesc Fabregas.

Luiz amekataa katakata kulizungumzia suala kwamba, huenda amekuwa na ugomvi na Aguero ambaye katika mechi hiyo, yeye alianza kumngonga.
04 Dec 2016

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :