Fashion

Wednesday 30 November 2016

MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA KIUNGO ZULU TOKA ZAMBIA

Mheshimiwa, Mwigulu Nchemba ambaye ni shabiki wa Yanga wa ‘kutupwa’, amekutana na kiungo mpya wa Yanga, Justice Zulu.

Zulu raia wa Zambia, yuko nchini tayari kumalizana na Yanga.

Mwigulu ambaye ni straika tegemeo wa Yanga katika timu ya Wabunge ameonekana akiwa picha na Zulu, nje ya hoteli aliyofikia.


Zulu anatarajia kumalizana na Yanga, leo au kesho na mara moja ataanza kazi katika harakati za kocha mpya, George Lwandamina kuandaa kikosi chake.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :