Fashion

Friday 13 January 2017

PAYET HATAKI MOZOEZI NA WEST HAM UNITED

.





.


Fundi wa mpira Dimitri Payet amesema anataka kuondoka West Ham United hapo na kuweka msisitizo katika hilo, amegoma kufanya mazoezini.

Kocha Mkuu wa West Ham United, Slaven Bilic 
amesema Payet raia wa Ufaransa aliwaambia kwamba anataka auzwe.


Payet anayepokea mshahara wa pauni 125, 000 kwa wiki ameonyesha nia ya kutaka kuachana na West Ham United ambayo msimu huu imeshindwa kuonyesha cheche.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :