Fashion

Friday 13 January 2017

MR SOCOPION KICK GIROUD KAJIFUNGA KITANZI NA ARSENAL






Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger ameongoza zoezi la kuwabakiza klabuni halo wachezaji watatu muhimu.

Wenger ameongoza zoezi la kuwaongeza mkataba mshambuliaji Olivier Giroud na walinzi  Laurent Koscielny na Francis Coquelin.

Taarifa zinasema baada ya hao wawili, Arsenal itakuwa na kazi nyingine ya kuhakikisha inawaongezea mkataba vigogo Mesut Ozil na Alexis Sanchez.


Koscielny mwenye umri wa miaka 31, amesaini mkataba mpya hadi mwaka 2020, Giroud mkataba wake utaisha 2019 yaani mwaka keshokutwa na Coquelin amesaini mkataba wa miaka minne na nusu.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :