Fashion

Tuesday 18 July 2017

WENGER SHUGHULI SHUGHULI CHINA


Arsenal wameendelea na maandalizi yao katika msimu mpya wakiwa jijini Shangai, China.

Joto la mji huo limepanda hadi kufikia nyuzi joto 30, hali iliyosababisha kocha Arsene Wenger kuwapoza wachezaji wake kwa kuwaingiza katika maui ya barafu.


Baadhi ya wachezaji walionekana kulalamika kutokana na joto hilo kali.

Wengine walikubaliana na hali hiyo na 
Mohamed Elneny, Aaron Ramsey, Olivier Giroud, Theo Walcott na Danny Welbeck walionekana kushindwa.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :