Fashion

Friday 3 November 2017

EVRA KAMPIGA SHABIKI KARATE KWENYE MECHI YA EUROPA


 
Beki Patrice Evra ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kulambwa kadi nyekundu hata kabla ya mechi kuanza katika michuano ya Eurpa League.

Evra beki wa zamani wa Man United ambaye anakipiga na Marseille alikuwa akijiandaa na mechi dhidi ya Vitoria de Guimaraes, wakati akipasha alimrukia teke shabiki.

Shabiki huyo alimtolea Evra maneno ya shombo na kusababisha ashindwe kujizuia na kwenda kumrukia teke jambo ambalo lilifanya mwamuzi amtoe kwa kadi nyekundu hata kabla ya mechi.

Vitoria de Guimaraes walishinda bao 1-0 dhidi ya timu hiyo ya Evra ambaye alikuwa jukwaani.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :