Fashion

Sunday 19 November 2017

MAN U 4-1 NEWCASTLE UNITED


Wakati Manchester United imepata ushindi mnono wa maabo 4-1 dhidi ya Newcastle, mshambuliaji wake, Zlatan Ibrahimovic aliyekuwa majeruhi amerejea.

Zlatan amerejea na kuichezea Man United kwa mara nyingine na kuamsha matumaini kwa mashabiki wengi wa Man United.

Katika mechi hiyo, Zlatan hakufunga lakini alionyesha uhai na matumaini ya juu kwa mashabiki wa Man United. 

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :