Fashion

Saturday 21 May 2016

MAGUFULI AENDELEA KUTUMBUA MAJIBU VIONGOZI

.
Waziri wa mambo ya ndani nchini Tanzania Charles Kitwanga amefutwakazi kutokana na sababu ya kuwa mlevi akiwa kazini.


Kwenye taarifa, rais John Magufuli alisema kuwa bwana Kitwanga alienda bungeni na kujibu swali la mbunge akiwa mlevi.

Hata hivyo bwana Kitwanga hajasema lolote. 


Rais Magufuli ambaye aliingia ofisini mwaka uliopita aliahidi kupambana na ufisadi na awewafuta kazi maafisa kadha kuhusiana na suala la ufisadi

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :