Fashion

Friday 29 December 2017

BEKI KISIKI WA SOUTHAMPTON VAN DIJK AJIUNGA NA LIVERPOOL

.
Jurgen Klopp hatimaye amefanikisha usajili wa beki kwa miamba wa Merseyside baada ya kuwapiku vinara wa ligi kumsajili beki wa kati 
 
Liverpool wamevunja rekodi ya dunia kwa usajili wa beki baada ya kuipiku Manchester City katika mbio za kuinasa saini ya Virgil van Dijk kutoka Southampton kwa dili la £75 milioni.

Beki huyo wa kati, ambaye alikuwa kipaumbele cha Jurgen Klopp tangu majira ya joto na alishapanga kutua Anfield tangu hapo, atajiunga rasmi na Liverpool Januari mosi.

Mazungumzo yaliendelea kwa kasi baina ya pande mbili baada ya mchakato mrefu wa Reds kutengeneza mahusiano mema na upande wa pili kufuatia tukio lililotokea Juni na kuwafanya Saints kukataa kumuuza mchezaji huyo.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :