Fashion

Wednesday 13 December 2017

SAFARI YA YANGA NA SIMBA KWENYE MASHINDANO YA AFRIKA YAIVA

Wakimataifa na Simba, huenda wakafanya vizuri na kucheza hatua ya makundi kama zitajipanga vizuri kuelekea michuano ya Kimataifa Afrika 
 
Sasa imekuwa rasmi wapinzani wa timu za Tanzania Bara, kwenye michuano ya kimataifa wamejulikana baada ya ratiba kupangwa jioni hii nchini Misri.

Mabingwa Yanga wamepangwa kuanza na St Louis ya Shelisheli katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, mechi ya kwanza ikichezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na marudiano ugenini. 

Endapo itavuka kikwazo hicho Yanga inatarajia kupambana na mshindi kati ya Township Rollers ya Botswana na El Merreikh ya Sudan na baada ya hapo itafuzu moja kwa moja katika hatua ya makundu ya michuano hiyo mikubwa kabisa Afrika.

Kwaupande wawakilishi wengi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Simbawenyewe wamepangwa kuanza na  Gendarmerie Tnale ya Djibouti katika Raundi ya Awali ya Kombe la Shirikisho Afrika mwakani,

Mechi ya kwanza ikichezwa uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na marudiano ugenini Ikivuka hapo, Simba itakutana na mshindi kati ya El Masry ya Misri na Green Bu faloes ya Zambia.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :