Fashion

Sunday 7 January 2018

PODOLSKI AFUNGUA DUKA LA KUUZA KABABU

Foward wa zamani wa Arsenal, Lukas Podolski amefungua duka lake la kuuza kababu.

Duka hilo lile katika mji aliozaliwa wa Cologne na zaidi ya mashabiki 1,000 walijitokeza wakati wa uzinduzi huo.

duke hilo litajulikana kwa jina la Mangal Doener, ambalo pia ndiyo jina la aina mbalimbali za kababu zitakazokuwa zikitengenezwa.

Podolski pia ana duka jingine la kuuza ice cream pia lile la kuuza vifaa vya michezo  katika mji huo wa Cologne nchini Ujerumani.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :