Fashion

Sunday 4 February 2018

JOTO LA MCHEZO KATI YA LIVERPOOL NA TOTENHAM LAPAMBA MOTO ANFLIED

 
 
Timu Liverpool chini ya Kocha Jurgen Klopp kimeendelea kujifua kwa ajili ya mechi yao Jumapili dhidi ya Tottenham.

Mechi hizo inasubiriwa kwa hamu kutokana na namna kasi kubwa ya Tottenham na kama kweli Liverpool watawasimamisha.
 
Homa hiyo ya mchezo inachagizwa na ushindi wa goli mbili kwa bila wa Totenham waliopata mbele ya watoto wa Jose Mourinho hili haionyeshi kuwa Totenham itapata ushindi kwa wepesi maana liverpool ni timu inayoweza zaidi kucheza mechi kubwa na kutoa ushindani.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :