Fashion

Thursday 8 March 2018

LIVE KIKOSI CHA TAIFA STARS

Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga, ametaja majina 23 ya wachezaji walioitwa kujiunga na kikosi hicho kwa ajili ya kujiwinda na michezo ya kirafiki dhidi ya Algeria na Jamhuru ya Kidemokrasia ya Congo.


Stars itacheza michezo hiyo ya kirafiki ambayo ni kwa mujibu wa kalenda ya FIFA, ambapo Machi 22 watakuwa ugenini kucheza dhidi ya Algeria na Machi 27 watakuwa na kibarua dhidi ya Congo hapa nchini.

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :