Kwa habari za ukweli na Uhakika katika michezo
Winga wa kimataifa kutoka Tanzania anayekipiga Difaâ Hassani El Jadida ya Morocco, jana ameendelea kuwa tegemeo kwa timu yake baada ya kufunga bao pekee dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Katika mchezo ...
Read moreKocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga, ametaja majina 23 ya wachezaji walioitwa kujiunga na kikosi hicho kwa ajili ya kujiwinda na michezo ya kirafiki dhidi ya Algeria na Jamhuru ya Kidemokrasia ya Congo. Stars itacheza michezo ...
Read moreMchezaji wa klabu ya FC. Barcelona, Ousmane Dembele, amesema hana furaha na taarifa zinazoeleza kuwa Kocha wake, Ernasto Valverde, ana mipango ya kumsajili mchezaji Antoine Griezmann kutoka Atlerico de Madrid. Demb...
Read moreNyimbo mbili za Diamond Platnamz ni miongoni mwa nyimbo zaidi ya 10 zilizopigwa marufuku kupigwa katika radio nchini Tanzania. Nyimbo kadha za wanamuziki Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki, Jux na Barnaba pia zimefungiwa. Nyimbo za...
Read moreShirikisho la Soka Tanzania (TFF) sasa linaonekana halitakuwa na utani linapofikia suala la bima kwa wachezaji. Mara kadhaa, suala hilo la bima limekwua likisisitizwa lakini bila ya mafanikio na klabu huona ni kama mzaha fulan...
Read more