Thursday 8 March 2018

    MSUVA AENDELEA KUPETA KLABU BINGWA AFRICA


    Winga wa kimataifa kutoka Tanzania anayekipiga DifaĆ¢ Hassani El Jadida ya Morocco, jana ameendelea kuwa tegemeo kwa timu yake baada ya kufunga bao pekee dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    LIVE KIKOSI CHA TAIFA STARS

    Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga, ametaja majina 23 ya wachezaji walioitwa kujiunga na kikosi hicho kwa ajili ya kujiwinda na michezo ya kirafiki dhidi ya Algeria na Jamhuru ya Kidemokrasia ya Congo.

    DEMBELE KUONDOKA BARCELONA ENDAPO ITAMSAJILI GRIZMAN



      Mchezaji wa  klabu ya FC. Barcelona, Ousmane Dembele, amesema hana furaha na taarifa zinazoeleza kuwa Kocha wake, Ernasto Valverde, ana mipango ya kumsajili mchezaji Antoine Griezmann kutoka Atlerico de Madrid.

    Thursday 1 March 2018

    RUNGU LA TCRA LAPIGA DIAMOND,SNURA,NEY WA MITEGO NA NIKKI MBISHI


    Nyimbo mbili za Diamond Platnamz ni miongoni mwa nyimbo zaidi ya 10 zilizopigwa marufuku kupigwa katika radio nchini Tanzania.

    KARIA TIMUJ KAMA HAINA BIMA KUSHUKA DARAJA


    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) sasa linaonekana halitakuwa na utani linapofikia suala la bima kwa wachezaji.

    Tuesday 27 February 2018

    MBOWE ATOA YA MOYONI KUHUSU HUKUMU YA SUGU


    Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema amesema kama chama hawana imani na watendaji wa mahakama licha ya kwamba wanaiheshimu kama "muhimili muhimu wa taifa ."

    Monday 26 February 2018

    SUGU NA MASONGA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MIEZI MITANO JELA



    Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Mbeya, imewakuta na hatia SUGU na MASONGA.. hivyo hukumu itasomwa muda siyo mrefu.